Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, January 21, 2015

USHAURI ADIMU; Unapokutana Na Tatizo Jiulize Jambo Hili Moja La Msingi.

Tukubaliane kwamba lazima utakutana na matatizo.
Katika jambo lolote unalofanya kwenye maisha yako, iwe ni kazi au biashara kuna wakati utakutana na matatizo.
Iwe matatizo hayo umesababisha wewe au hujasababisha una swali hili muhimu la kujiuliza?
Je kuna suluhisho la tatizo hili?
Kama suluhisho lipo huna haja ya kuhofu anza kufanyia kazi suluhisho hilo.
Kama suluhisho halipo pia huna haja ya kuhofu maana kuhofu hakutakusaidia kutatua tatizo hilo. Badala yake tumia muda wako kutafuta suluhisho la tatizo lako.
Kila la kheri.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment