Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, January 20, 2015

Kuna Makundi Matatu Ya Watu; Je Wewe Upo Kwenye Kundi Lipi Kati Ya Haya? Fungua Kujua.

Duniani kuna makundi matatu ya watu. Na watu wote duniani tunaingia kwenye moja wapo ya makundi haya.

Kundi ulilopo linaweza kuw akiashiria kama utafikia mafanikio au la.

Na habari njema ni kwamba unaweza kubadilisha na kwenda kwenye kundi jingine ambalo litakufikisha kwenye mafanikio unayotaka.

SOMA; Wajasiriamali Wenye Mafanikio Hufanya Mambo Haya Matano Kila Siku.

Makundi hayo ni kama ifuatavyoShifty

1. Kuna watu ambao wanaangalia mambo yakitokea na hawafanyi lolote.

2. Kuna watu ambao wanashangaa mambo yametokeaje.

3. Kuna watu ambao wanafanya mambo yanatokea.

Sasa wanaofikia mfanikio makubwa nadhani utakuwa umeshajua ni kundi lipi; ni wale wanaofanya mambo yanatojea.

Kwa hiyo kama na wewe ukiamua kufanya mambo yatokee, uache kuwa mtazamaji tu au uache kushangaa utafikia mafanikio yoyote unayotazama.

Kumbuka 2015… JUST DO IT.

SOMA; Kauli Mbiu Ya Mwaka Huu; JUST DO IT.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment