Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, January 12, 2015

Ni Nini Hasa Kinakuzuia Mpaka Sasa?

Huenda malengo uliyoweka mwaka huu uliweka pia mwaka jana, na mwaka mwingine kabla ya mwaka jana.
Umekuwa ukiweka malengo hayo hayo na muda mfupi unayasahau.
Unaanza mwaka kwa shauku...
Mwaka huu nitaanza kufanya mazoezi...
Mwaka huu nitaacha ulevi...
Mwaka huu nitaanzisha biashara...
Mwaka huu nitaboresha maisha yangu.
Ila mwezi wa kwanza unapoisha tu, malengo yako hukumbuki tena.
Unasubiri mwaka mwingine kuweka tena malengo.
Hebu leo kaa chini na UFIKIRI TOFAUTI...
Hebu acha mchezo huo wa kupanga ma kuacha.
Lazima kuna kitu ambacho mpaka sasa kinakuzuia hujafikia malengo unayopanga kufikia..
Je unakijua? Kama hukijui utaendelea na mchezo huu miaka nenda miaka rudi.
Kama umechoka na mchezo huu kaa chini leo na ujue kipi kinakukwamisha.
Kisha chukua hatua.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment