Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, January 18, 2015

USHAURI ADIMU; Najua Kitu Kimoja….

Najua kitu kimoja… kwamba sijui chochote.

Kauli hii tatanishi ilitolewa na mwanafalsafa Socrates.

Kauli hii inaushauri muhimu sana kwetu;

1. Kama kuna kitu kimoja muhimu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba hujui chochote.

2. Jiulize kwa kile ambacho unafikiri unakijua, na utagundua kwamba hukijui maka ulivyofikiri unakijua.

3. Huwezi kujua kila kitu.

4. Ni muhimu sana kujifunza kila siku.

Yafanyie kazi hayo.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment