Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, January 31, 2015

NENO LA LEO; Njaa Ndio Itakupatia Unachotaka…

“Wanting something is not enough. You must hunger for it. Your motivation must be absolutely compelling in order to overcome the obstacles that will invariably come your way.” Les Brown

Kutaka kitu haitoshi, ni lazima uwe na njaa ya kukipaya. Hamasa yako ni lazima iwe kubwa sana ili kushinda vikwazo vitakavyokuja kwenye njia yako.

Unahitaji kuwa na njaa kubwa sana ya kupata kile unachotaka ili uweze kukipata. Hii ni kwa sababu lazima utakutana na vikwazo kwa chochote utakachotaka kufanya. Kama utakuwa unataka tu kawaida, ni rahisi kukata tamaa pale unapokutana na vikwazo.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Hii ndio faida ya kushindwa.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment