Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, January 24, 2015

Bado Huzioni Fursa Zinazokuzunguka? Jiulize Maswali Haya Matatu.

Maswali matatu muhimu ya kukusaidia kugundua fursa zinazokuzunguka.
i. Ni kitu gani ambacho kinakupa msukumo mkubwa.
Katika vitu vyote unavyofanya au unavyofuatilia kuna kimoja ambacho kinakupa hamasa kubwa.
Ni kipi hiko?
ii. Je una vipaji gani?
Ni vitu gani ambavyo umekuwa unapendelea kufanya tangu ukiwa mdogo. Ni kitu gani ukikifanya watu wanakusifia umefanya vizuri?
iii. Ni kitu gani ambacho kinaweza kuwa na mchango mkubwa duniani?
Je ni matatizo gani ambayo yanawasumbua watu ambayo unaweza kuyapatia suluhisho? Ni kitu gani ambacho ukikifanya kitaleta mchango mkubwa kwenye jamii yako na dunia kwa ujumla.
Jibu maswali hayo na anza kufanyia kazi kile utakachopata.
Kumbuka JUST DO IT.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment