Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, January 27, 2015

NENO LA LEO; Faida Ya Kufanya Kile Unachosema…

“Walking your talk is a great way to motivate yourself. No one likes to live a lie. Be honest with yourself, and you will find the motivation to do what you advise others to do.” Vince Poscente

Kufanya kile unachosema ni njia kubwa ya kujihamasisha. Hakunamtu anayependa kuishi uongo. Kuwa mwaminifu kwako mwenyewe na utapata hamasa ya kufanya kile unachoshauri wengine wafanye.

Kuwaambia wengine wafanye kitu ambacho wewe mwenyewe hufanyi ni kitu ambacho kinaweza kukuondolea uaminifu na pia kukukosesha fursa ya wewe kunufaika na kile unachowashauri wengine wafanye.

Anza sasa kutenda kile unachohubiri.

SOMA; Sababu TATU Kwa Nini Watu Wengi Wanashinda Kufikia Mafanikio.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment