Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, January 30, 2015

NENO LA LEO; Maisha Yanapokosa Maana…

“Without faith, hope and trust, there is no promise for the future, and without a promising future, life has no direction, no meaning and no justification.” Adlin Sinclair

Bila ya imani, matumaini na uaminifu, hakuna ahadi ya baadae, na kama hakuna ahadi ya baadae, maisha hayana muelekeo, hayana maana na hayana uhalali.

Chagua maisha unayotaka kuishi wewe kwa kuw ana imani na matumaini kwamba unaweza kuyafanya bora kama unavyotaka.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Mambo KUMI Ya Kufanya Ili Usiishi Maisha Ya Majuto.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment