Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 14, 2015

NENO LA LEO; Kila Mtu Ni Mwekezaji…

“We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities”. Ralph Waldo Emerson

Sisi wote ni wawekezaji, kila mmoja anafuata uelekeo wake, akiongozwa na ramani yake mwenyewe ambayo haifanani na ya mwingine. Dunia ni milango yote na fursa zote.

Kuna fursa nyingi sana duniani, nyingi kama ilivyo idadi ya watu.

Hii ni kwa sababu watu hatufanani na hivyo kila mtu akiweza kutumia uwezo wake mkubwa na wa kipekee walionao, anaweza kutengeneza fursa itakayomnufaisha kwa kiasi kikubwa sana.

SOMA; NENO LA LEO; Tengeneza Maisha Yako Hivi…

Anza sasa kutumia uwezo wako ambao ndio ramani inayokuongoza na utafikia fursa ambayo itakuwa ya kipekee kwako.

Wekeza kwenye akili yako, jifunze, jifunze, jifunze…

Nakutakia siku njema.

SOMA; Hakuna Anayejua Anachofanya, Na Huo Ndio Uzuri Wa Maisha.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment