Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 7, 2015

Kama Unataka Kumaliza Matatizo Yako Ya Fedha Fanya Kitu Hiki Kimoja.

Karibu mataizo yote ya binadamu chimbuko lake ni fedha.
Watu wanachukuiana, watu wanauana na watu wanafanya mambo ya hatari sana kwa ajili ya fedha.
Ili kuondokana na matatizo haya mengi, anza kwa kutatua tatizo kuu ambalo ni fedha.
Kama unataka kutatua tatizo lako la fedha hasa kwa baadae anza leo kwa kuweka akiba asilimia 10 ya chochote unachopata. Na baadae wekeza akiba hiyo kwenye sehemu ambapo itaweza kuzalisha zaidi.
Ndio hivyo, weka pembeni asilimia 10, isahau kabisa. Kadiri miaka inavyokwenda utashangaa kuona uwekezaji wako unakua na matatizo ya fedha yanakwisha.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment