Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, February 24, 2015

SIRI YA 30 YA MAFANIKIO; Uaminifu Unalipa Gawio Kubwa.

Watu wasioona mbali hawaelewi kwamba kila wanachofanya kina matokeo yake.
Matendo mazuri yanapewa zawadi na matendo mabaya yanaadhibiwa.
Ni bora kushindwa na ukabaki na heshima kuliko ukafanikiwa huku ukiwa tapeli.

   “To measure a man, measure his heart.”  - Malcolm Forbes

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment