Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, February 18, 2015

NENO LA LEO; Kitu Muhimu Zaidi Kwenye Maisha…

“The most important thing in life is not to capitalise on your successes - any fool can do that. The really important thing is to profit from your mistakes”. William Bolitho

Kitu muhimu zaidi kwenye maisha sio kunufaika na mafanikio yako, hata mjinga anawea kufanya hivyo. Kitu muhimu kweli ni kunufaika na makosa yako.

Unapofanya makosa, unaweza kuchagua yakurydishe nyuma au yakusogeze mbele.

Ukishaweza kutumia makosa yako kusonga mbele, kupata mafanikio zaidi hapa ndio umekomaa kweli kuweza kufikia mafanikio.

SOMA; Ushauri Kwa Wajasiriamali Kutoka Kwa Mwanzilishi Wa Facebook.

Wanasema ubora wa nahodha haupimwi kwa utulivu wa bahari.

Wakati mambo ni mazuri kila mtu anaweza kufanya vizuri. Mambo yanapokuwa mabaya ndio wale hasa waliojipanga kweli kufanikiwa wanapoonekana.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Mambo 10 Unayotakiwa Kujua Kuhusu Uwekezaji.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment