Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, February 19, 2015

SIRI YA 23 YA MAFANIKIO; Kama Una Matumaini Ya Baadae Una Nguvu Leo.

Matumaini yanaona visivyoonekana na kufanikisha visivyowezekana.
Napoleon alisema kwamba kazi ya kwanza ya kiongozi ni kuwapa watu wake matumaini.
Kwa sababu watu wanapokuwa na matumaini, watapigania ndoto zao. Na wanapokosa matumaini wanakata tamaa.
Zungukwa na watu ambao wanakutia moyo, watu watakaopanda matumaini na imani ndani yako na utaweza kuwa chochote unachotaka kuwa.

   “Faith is to believe what we do not see; and the reward of this faith  is to see what we believe.”  - Saint Augustine   

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment