Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, February 23, 2015

NENO LA LEO; Vitu Vitatu Muhimu Kwenye Maisha Yako.

"In the end, just three things matter: How well we have lived How well we have loved How well we have learned to let go." - Jack Kornfield

Mwishoni vitu vitatu tu ndio vitakuwa muhimu: Jinsi gani ulivyoishi. Jinsi gani ulivyowapenda wengine. Jinsi gani ulivyoweza kukubali mambo yapite.

Maisha unayoishi mwisho wa siku hayatahesabiwa kwa fedha utakazokuwa nazo au magari utakayokuwa nayo.

Maisha yako yatahesabiwa kwa vipengele hivyo vitatu.

SOMA; Siri Kubwa Unayotakiwa Kujua Kwenye Mahusiano Ya Kibiashara.

Na pia ni vipengele hivi vitakufanya uone maisha yako yamekuwa ya thamani.

Anza leo kuishi maisha yako na uache kujianda akuishi maana siku zinakwenda sana na muda haukusubiri.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Unapokuwa Tayari Kuingia Kwenye Ujasiriamali Fanya Vitu Hivi Vitano.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment