Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 21, 2015

NENO LA LEO; Bado Hujachelewa…

It's never too late - never too late to start over, never too late to be happy. -Jane Fonda

Hakuna wakati ambao unakuwa umechelewa, hujachelewa kuanza tena, hujachelewa kuanza kuwa na furaha.

SOMA; Siri Moja Kubwa Ya Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali.

Kwenye maisha hakuna kuchelewa ila pale unapojua unachotaka ndio wakati huo huo unahitaji kuchukua hatua.

Kama umepata habari za ukombozi wa maisha yako leo, usiseme umechelewa bali chukua hatua leo ili kesho yako iwe bora zaidi.

Unaposhindwa kuchukua hatua pale ambapo unajua ni nini cha kufanya ndio unakuwa umejichelewesha mwenyewe.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Njia TATU Za Kufanya Moto Wa Ujasiriamali Uendelee Kuwaka Kwenye Nafsi Yako…

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment