Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 21, 2015

SIRI YA 27 YA MAFANIKIO; Amua Kujiendeleza Kila Siku.

Watu waliofanikiwa sana kwenye kila eneo ni watu wanaojifunza kila siku na kila mara. Mara zote wanasoma vitabu, kusikiliza vitabu vya kuwaelimisha na kuhudhuria semina.
Wanajua kwamba kama wakijifunza na kutumia yale waliyojifunza wanazidi oiuwa bora zaidi ya wale wanaoshindana nao.
Kama utatumia dakika 15 mpaka 30 kwa siku kujisomea, baada ya muda utakuwa mtaalamu uliyebobea.
Wekeza kwako mwenyewe na utaongeza kipato chako mara dufu.

“You are what you are and where you are because of what’s gone into your mind. You can change what you are and where you are by changing what goes into your mind.” - Zig Ziglar

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment