Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 21, 2015

Sababu Namba Moja Kwa Nini Hufanikiwi Kwenye Kazi Unayofanya.

Sababu namba moja kwa nini hufanikiwi kwenye kazi unayofanya ni kwa sababu unaangalia fedha tu.
Yaani wewe kinachokusukuma ufanye kazi ni kwa sababu unapata fedha.
Sasa fedha inapokuwa ndio hamasa kwako utafanya kile tu ambacho kinakuletea fedhq, hutataka kwenda hatua ya ziada na hivyo kujinyima fedha nyinhi zaidi baadae.
Ufanyeje sasa?
Hamasa yako kubwa isiwe fedha bali iwe mapenzi ya dhati kwa kile unachofanya.
Penda sana kile unachofanya na kifanye kwa ubora wa hali ya juu sana.
Kuwa mbunifu na mara zote penda kwenda hatua ya ziada.
Kwa hali hii fedha zitakuja mpaka utashangaa zilikuwa zimejificha wapi. Amini hilo, nakuambia kwa uzoefu.

Do not hire a man who does your work for money, but him who does it for love of it.—Henry David Thoreau,

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment