Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, February 23, 2015

SIRI YA 29 YA MAFANIKIO; Jinsi Ya Kupata Furaha.

Huwezi kutafuta furaha.
Furaha ni zao la mambo haya matatu;
1. Ubora wa mahusiano yako na wengine.
2. Kiwango cha udhibiti ulionao kwa hisia zako.
3. Jinsi unavyotumia zawadi na uwezo wako katika kutimiza malengo yako.
Kama unataka kuwa na furaha fanya kazi ya kuboresha mahusiano yako, dhibiti hisia zako na yafanyie kazi malengo yako kwa akili zako na moyo wako wote.

  “Satisfaction lies in the effort, not in the attainment.  Full effort is full victory.”  - Mohandas Gandhi

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment