Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, February 21, 2015

SIRI YA 26 YA MAFANIKIO; Mara Zote Weka Malengo.

Dhumuni la malengo ni kutupa umakini na mwelekeo. Akili yako haiwezi kukutafutia majibu kama haijawekwa kwenye uelekeo husika. Pale unapokuwa na malengo thabiti miujiza inatokea. Unaanza kupokea mawazo na fikra zinazokufikisha kwenye lengo lako.
Maisha bila malengo yanakera. Maisha yenye malengo ni kama safari nzuri.
Andika malengo yako kila siku asubuhi. Hiki ni kitendo cha kujitoa kinachokuandalia mazingira mazuri ya kuanza siku ya uzalishaji mkubwa.

“The world has the habit of making room for the man whose words and actions show that he knows where he is going.” - Napoleon Hill

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment