Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, February 22, 2015

NENO LA LEO; Kama Hufanyi Makosa Hii Ndio Maana Yake.

If you're not making mistakes, then you're not doing anything. -John Wooden

Kama hufanyi makosa maana yake hufanyi chochote.

SOMA; Fikra TANO Zinazoua Mafanikio Na Jinsi Ya Kuziepuka.

Katika jambo lolote ambalo utafanya, huwezi kukwepa kufanya makosa. Hasa pale ambapo unafanya mambo mapya, makosa huwa makubwa sana.

Hivyo usiogope pale unapojikuta unafanya makosa, bali jua ya kwamba kuna mambo mapya unayofanya na unajifunza ni kipi hutakiwi kufanya.

Kama ungekuwa huogopi kukosea, kama ungekuwa huogopi kushindwa, je ungekuwa umekamilisha mangapi? Ungekuwa unafanya nini sasa? Anza kufanya.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Sababu 10 Kwa Nini Hutafikia Malengo Yako 2015.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment