Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, February 19, 2015

NENO LA LEO; Kama Bado Hujaipata Fursa Fanya Hivi…

”If opportunity doesn’t knock, build a door” Milton Berle

Kama bado fursa haijagonga hodi, tengeneza mlango.

Unaweza kuwa unalalamika kwamba fursa haijaginga hodi kwako, kumbe huna hata mlango wa kutoa nafasi kwa fursa hiyo kugonga. Hivyo acha kulalamika na tengeneza mlango ambapo fursa itagonga.

SOMA; Njia KUMI Za Kubana Matumizi Yako Mwaka Huu 2015.

Fanya maamndalizi ambayo yatakuwezesha kutumia fursa  mbali mbali zinazokuzunguka.

Tatizo sio uhaba wa fursa, fursa zipo nyingi sana, swali ni je umejiandaa kuzitumia?

Fanya maandalizi, tumia fursa, boresha maisha yako.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Maswali Matatu Muhimu Ya Kujiuliza Kwenye Wazo Lako La Biashara.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment