Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, February 12, 2015

NENO LA LEO; Kampuni Zinazokufa Na Kampuni Zinazofanikiwa….

“Companies that solely focus on competition will ultimately die. Those that focus on value creation will thrive.” Edward de Bono

Kampuni zinazoweka mkazo kwenye kushindana zinakufa mara moja. Kampuni zinazoweka mkazo kwenye kutengeneza thamani zinastahimili.

Ni vigumu sana kushinda kwenye kushindana, maana unapoingia kwenye mchezo wa ushindani kila mtu anatumia kigezo kimoja kushindana.

Njia bora ya wewe kujiweka pembeni na ushindani na hata kuweza kufanikiwa ni kutengeneza thamani kubwa ambayo haipatikani sehemu nyingine yoyote.

Watu watafuata thamani hiyo.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Weka Pamoja Vitu Hivi Vitatu Na Tayari Wewe Ni Mjasiriamali Mwenye Mafanikio Makubwa.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment