Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, February 12, 2015

SIRI YA 17 YA MAFANIKIO; Una Hamu Kiasi Gani Ya Kufikia Ndoto Yako?

Hamu kubwa unayokuwa nayo kwenye kitu unachotaka ndio inapima kama utaweza kukipata.
Kama una hamu kubwa sana ya kupata kitu, hakuna kitu kitakachoweza kukuzuia kukipata. Hata utapokutana na changamoto lazima utapata njia.
Hamu kubwa ya kupata kitu inakupa nguvu ya kulipa gharama ya mafanikio.
Unaweza kujitengenezea hamu, kuichochea hamu na kuiendeleza hamu kwa kujijengea picha ya kile unachotaka na kujihusisha na watu ambao wana hamu ya mafanikio.

“Nothing can resist a will which will stake even existence  upon its fulfillment.” - Benjamin Disraeli

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment