Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, February 25, 2015

NENO LA LEO; Kitu Muhimu Cha Kununua Kabla Hujanunua Nguo…

"Wear the old coat and buy the new book." - Austin Phelps

Vaa nguo Ya Zamani na nunua kitabu kipya.

Najua hii ni kauli ya tofauti kabisa, ambayo hujawahi kuisikia na wala hukuwahi kudhani utakujakuisikia. Sawa, tayari umeshaisikia na ifanyie kazi.

SOMA; Faida Kumi Za Kujisomea Ukiacha Kuongeza Maarifa.

Wakati wowote unapotaka kununua nguo, kwanza jiulize nina kitabu kipya? Kama huna usinunue kwanza nguo, nunua kitabu.

Kwa sababu unaponunua nguo unakuwa umefanya uwekezaji kidogo sana na ukizingatia tayari unazo nguo nyingi. Ila unaponunua kitabu unakuwa umefanya uwekezaji mkubwa sana ambao utakulipa mara dufu kwa kutumia maarifa uliyojifunza kwenye kitabu hiko.

Weka kipaumbele kwenye kujifunza, maisha yako yatakuwa bora sana.

Nakutakia siku njema.

SOMA; UKURASA WA 45; Uwekezaji Muhimu Kwako Kufanya Na Unaolipa Sana.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment