Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, February 11, 2015

SIRI YA 15 YA MAFANIKIO; Mafanikio ni Hatua Kwa Hatua.

Hakuna kitu kama mafanikio ya haraka.
Ni lazima uweke misingi siku kwa siku na kwa muda mrefu sana.
Ni lazima uweze kusinda mapambano madogo madogo mengi kabla ya kukutana na mapambano makubwa.
Nyumba zinajengwa tofali moja baada ya jingine.
Mashindano ya mpira yanasindwa kwa mechi moja baada ya nyingine
Biashara inajengwa kwa mteja mmoja baada ya mwingine.
Mafanikio yoyote makubwa, ni muunganiko wa mafanikio madogo madogo.

   “Do not despise the bottom rungs in the ascent to greatness.”  - Publilius Syrus

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment