Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, February 26, 2015

NENO LA LEO; Tatizo La Kuwa Na Machaguo Machache.

To the man who only has a hammer, everything he encounters begins to look like a nail. -Abraham Maslow

Kwa mtu ambaye ana nyundo tu, kila kitu anachokutana nacho kinaonekana kama msumari.

Kama unajua kitu kimoja tu, kila tatizo utakalokutana nalo utajaribu kulitatua kw akile unachojua. Na mara nyingi utatuzi wako unaweza kuzaa matatizo mengi zaidi.

SOMA; JICHO KWA JICHO; Tutabaki Na Dunia Ya Vipofu.

Kama ilivyo kwa mtu mwenye nyundo tu kila atakachokutana nacho kitaonekana kama msumari na ataanza kukigonga au kuking’oa.

Jua vitu vingi, kuwa na machaguo mengi na hapa utakuwa na uhuru wa kuamua utumie kitu gani katika hali gani na kitakachokuletea matokeo mazuri.

Nakutakia siku njema, usiwe na nyundo tu.

SOMA; Kama Hutofanya Chochote…

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment