Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, March 2, 2015

SIRI YA 37 YA MAFANIKIO; Imani Nakupa Nguvu Ya Kuchukua Hatua

Imani ndio hatua ya kwanza ya kufikia mafanikio. Kuamini tu kitu kinawezekana ni jambonzuri sana.
Baada ya kuamini unaweza kuanza kufanya kazi na kujua utawezaje kufikia lengo lako. Kutamani tu hakuna nguvu yoyote. Ile hali ya NITAWEZAJE KUFANYA inatokana na imani.
Unapoamini unawakaribisha watu wengi wakusaidie kwa sababu wanaanza kuwa na imani na wewe. Imani yako inaamua ni vitu gani utafanikiwa kwenye maisha yako.

  “Man is literally what he thinks.”  - James Allen

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment