Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, March 15, 2015

Huu Ni Uwekezaji Wa Uhakika Ambao Hautakuangusha.

"A man who empties his purse into his head never goes broke."
Kama unatumia kipato chako kujiemdeleza zaidi huwezi kufilisika.
Kwa maana hiyo kama una shilingi elfu kumi labda na hujui uifanyie nini. Ushauri wa uhakika na ambao hutausikia popote ni huu. Katafute kitabu kinachohusiana na jambo lolote unalopenda kufanya, kinunue, kisome ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho. Rudia kukisoma tena kwa mara ya pili.
Andika vitu 20 ulivyojifunza kwenye kitabu hiko.
Chagua vitu kumi utakavyoanza kuvifanyia kazi mara moja ulivyojifunza kwenye kitabu hiko.
Anza kuvifanyia kazi.
Ni hivyo tu, miaka kumi ijayo utashukuru sana maamuzi uliyochukua leo.
Kama hutafanya chochote miaka kumi ijayo hutakuwa tofauti sana kama ulivyo leo.
Kila la kheri,
TUPO PAMOJA.
www.amkamtanzania.com

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment