Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, March 25, 2015

NENO LA LEO; Kinachoamua Maisha Yako Sio Unachozungumza, Bali Hiki…

It’s not what you say out of your mouth that determines your life, it’s what you whisper to yourself that has the most power!” ― Robert T. Kiosaki

Sio kile unachoongea ndio kinabadili maisha yako, ni kile unachojinongoneza mwenyewe ndio kina nguvu kubwa.

Unaweza kuzungumza chochote unachopenda mbele ya watu. Unaweza kuwahakikishia kwmaba utapambana na hutakata tamaa mpaka pale utakapofikia mafanikio.

Lakini kama unapokuwa mwenyewe unajinongoneza kwamba huwezi, haiwezekani, vikwazo ni vingi. Unafikiri kati ya vitu hivi viwili ni kipi chenye nguvu? Maneno uliyowaambia wengine au yale uliyojinongoneza?

Uliyojinongoneza yana nguvu sana. Hakikisha unatumia nguvu hii kufikia malengo yako.

Jiambie unaweza, jiambie utapambana na jiambie hutokata tamaa mpaka upate kile unachotaka.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Jinsi Ya Kujijengea Uwezo Wa Kujiamini

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment