Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, March 23, 2015

Changamoto Inayokusumbua Kwenye Biashara.

Habari mpenzi msomaji,
Naandika kitabu kinachohusu biashara. Hii ni kutokana na kuwepo kwa changamoto nyingi sana zinazozuia watu wengi kuingia kwenye biashara au kufanikiwa zaidi kupitia biashara.
Vitabu vingi vya kibiashara havijaangalia upande wa pili wa tatizo ambapo ni mtu mwenyewe.
Hivyo kitabu hiki kitaanza na mapinduzi ya mfanyabiashara mwenyewe ndio aweze kuleta mapinduzi kwenye biashara yake.
Nachukua nafasi hii kukuambia kwamba kama una changamoto yoyote ambayo inakuzuia kuingia kwenye biashara au ambayo inakufanya ushindwe kufanikiwa unaweza kuileta na ikajibiwa kwenye kitabu hiki.
Unachotakiwa kufanya ni kuandika changamoto yako kwa mfumo wa swali na kutuma kwa email ushauri@kisimachamaarifa.co.tz
Swali au changamoto yako itajibiwa kwenye kitabu hiki ambacho kitatoka muda sio mrefu.
Chukua hatua haraka ya kuuliza changamoto yako kwa sababu muda ni mfupi.
Nakutakia kila la kheri.
TUPO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment