Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, March 17, 2015

NENO LA LEO; Ukishafanya Kitu Hiki Kimoja, Utajua Jinsi Ya Kuishi.

“As soon as you trust yourself, you will know how to live.” ― Johann Wolfgang von Goethe

Mara utakapojiamini, utajua jinsi ya kuishi.

Ni vigumu sana kujua jinsi ya kuishi kama wewe mwenyewe hujiamini. Utahangaika kufanya mambo mengi na utaishia kushindwa na kukata tamaa.

Unapojiamini unajua ni kitu gani hasa unataka na utang’ang’ana mpaka ukipate, kwa kuwa una uhakika ni lazima utakipata.

Je ni nini kinakufanya usijiamini? Hutaki kujua jinsi ya kuishi maisha yako vizuri?

Nakutakia siku njema.

SOMA; Nyasi Za Upande Wa Pili Ni Za Kijani Zaidi…

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment