Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, April 18, 2015

NENO LA LEO; Njia Ya Uhakika Ya Kufikia Mafanikio Makubwa.

If you want to be successful, it's just this simple. Know what you are doing. Love what you are doing. And believe in what you are doing. -Will Rogers

Kama unataka kufikia mafanikio, ni rahisi kama hivi. Jua ni nini unafanya. Penda kile unachofanya. Na pia amini kile unachofanya.

SOMA; Siri Za Kuwa Mjasiriamali Bora Na Kufikia Mafanikio Makubwa.

Jua kile unachofanya, kama hujui ni vigumu sana kufikia mafanikio. Jua ni nini unafanya na unataka kikufikishe wapi.

Penda kile unachofanya. Unapopenda unachofanya inakufanya wewe kuwa na hamasa kubwa na kuweka juhudi na maarifa hata pale unaposhindwa.

Amini kile unachofanya, mafanikio yanaanza na imani yako. Je unamini unachofanya kitakufikisha wkenye mafanikio, je unaamini kinawanufaisha wengine.

Vitu hivyo vitatu vitakufikisha kwenye mafanikio bila ya kujali ni kitu gani unafanya kwenye maisha yako.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Sababu Zinazokufanya Wewe Kushindwa Kuthubutu Wazo Lako

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment