Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, April 20, 2015

NENO LA LEO; Kama Hutaki Kuwa Na Maadui Fanya Kitu Hiki Kimoja.

He who falls in love with himself will have no rivals. -Benjamin Franklin

Yule anayejipenda mwenyewe hawezi kuwa na maadui/wapinzani.

SOMA; Siri Za Kuwa Mjasiriamali Bora Na Kufikia Mafanikio Makubwa.

Njia moja ya uhakika ya kuepuka kuwa na maadui ni kujipenda wewe mwenyewe. Unapojipenda wewe mwenyewe utawapenda na wengine pia. Na mtu yeyote anayewapenda wengine bila ya ubaguzi ni vigumu sana kuwa na maadui.

Na hata pale watu watakapolazimisha kuw ana uadui na wewe, hilo halitakuwa tatizo kwa ko kwa sababu hutakuwa na muda wa kufuatilia hayo.

Jipende wewe mwenyewe, utawapenda wengine pia na utaondokana na maadui zako.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Barua Ya Wazi Kwa Vijana Wanaotafuta Ajira. Soma Hapa Uone Fursa Unazoweza Kutumia.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment