Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, April 8, 2015

NENO LA LEO; Hiki Ndio Kitu Muhimu Sana Kwenye Maisha Yako. Na Sio Chakula Au Hewa.

A flower cannot blossom without sunshine, and man cannot live without love - Max Muller

Ua haliwezi kuchanua pasipokuwepo na mwanga wa jua na mtu hawezi kuishi pasipokuwepo na upendo.

Upendo ni kiungo muhimu snaa cha maisha yetu. Bila ya upendo maisha yanakuw amagumu san akuishi na hata kufurahia.

Unaweza kupata chakula, unaweza kupata hewa unawez akuwa na fedha za kukutosha ila ukikosa upendo maisha yako yanakosa maana. Na utakuwa upo tu unasukuma siku lakini sio kwamba unaishi.

Upendo ni sehemu muhimu sana kwenye maisha yetu. Anza kwa kutoa upendo na utapokea mwingi mpaka utashangaa.

SOMA; Katika Kula Ujana Usifanye Mambo Haya Matano, Utajutia Maisha Yako Yote.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment