Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, March 27, 2015

NENO LA LEO; Jambo Muhimu La Kufanya Wakati Unapia Magumu.

“In the darkest hours we must believe in ourselves.” ― Terry Goodkind

Katika nyakati ngumu, unatakiwa kujiamini wewe mwenyewe.

Kila mmoja wetu anapitia nykati ngumu kwenye maisha yake. Inaweza kuwa kwenye kazi, kwenye biashara, kwenye familia na hata maeneo mengine muhimu kwenye maisha yako.

Huu ni wakati ambapo malengo na mipango yako unaona kama haviendi kabisa na wakati mwingine unaona kama haviwezekani.

SOMA; KITABU; Jinsi Ya Kufaidika Na Mabadiliko Yanayotokea Kwenye Maisha.

Katika nyakati hizi jambo muhimu kabisa la wewe kufanya ni kujiamini wewe mwenyewe. Ukishindwa kujiamini unajua ni kitu gani kinafuata? Kukata tamaa. Na ukishakata tamaa na mambo yako ndio yamekwisha.

Jiamini katika nyakati ngumu, jikumbushe ni wapi unatoka na pia jikumbushe ni wapi unapokwenda. Kwa hiki kidogo tu unaweza kupata hamasa kubwa ya kuweza kuendelea na mapambano.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwa Jasiri Na Kufanya Mambo Makubwa Zaidi Ya Unavyofikiria. ( 2)

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment