Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, March 28, 2015

NENO LA LEO; Hii Ndio Hatari Kubwa Kuliko Zote.

“Being comfortable with who you are is the ultimate threat.” ― Sean Beaudoin

Kuridhika na vile ulivyo ndio hatari kubwa kuliko zote.

Hakuna kitu kibaya kwenye maisha yako kama kuridhika na vile ulivyo, kuridhika na hali uliyofikia.

Hii ni sumu kubwa sana ya wewe kufikia mafanikio makubwa.

SOMA; Katika Kula Ujana Usifanye Mambo Haya Matano, Utajutia Maisha Yako Yote.

Kuridhika na vile ulivyo maana yake hutofanya juhudi za kujiboresha zaidi na hatimaye kuachwa nyuma na mabadiliko yanayotokea kila siku.

Kuwa makini pia, hii haimaanishi ujidharau na kujiona hufai. Unatakiw akujiamini na kupenda maisha yako ila usije ukaridhika na pale ulipo sasa. Miaka michache ijayo mambo mengi yatakuwa yamebadilika.

Soma kitabu JINSI YA KUFAIDIKA NA MABADILIKO YANAYOTOKEA na utajifunza mbinu bora za kujiandaa na mabadiliko.

Nakutakia siku njema.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment