Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, September 23, 2014

NENO LA LEO; Kuhusu Lifti Ya Kuelekea Kwenye Mafanikio.

There is no elevator to success. You have to take the stairs.

 

Hakuna lifti ya kuelekea kwenye mafanikio, ni lazima upande ngazi.

Watu wengi wamekuwa wakidanganywa sana kwamba kuna njia ya kupata mafanikio haraka, kama vile mtu anavyopanda lifti na kufika ghorofa ya kumi haraka.

Ukweli ni kwamba hakuna njia yoyote inayoweza kukuletea mafanikio haraka. Kama ilivyo kwamba itakuchukua muda kupanda ngazi mpaka ufike ghorofa ya kumi.

Usikate tamaa, SONGA MBELE.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

1 comments: