Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, September 29, 2014

NENO LA LEO; Kuhusu Kuupuuza Ukweli.

I've learned that to ignore the facts does not change the facts.

 

Nimejifunza kwamba kuupuuza ukweli haibadilishi ukweli.

Ukweli ni ukweli hata kama utaamua kuupuuza. Kubaliana na ukweli na angalia jinsi ya kuutumia kupata kile unachotaka.

Nakutakia kila la kheri, TUKO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment