Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Monday, September 15, 2014

NENO LA LEO; Kuhusu Kufanya Mambo Mengi.

It's important to focus on one thing at a time. Even in the Roman times they understood this with their Proverb; "The man who chases two rabbits catches none."

 

Ni muhimu kufanya jambo moja kwa wakati. Hata wakati wa Roma walielewa hili kwa msoemo wao; mtu anayekimbiza sungura wawili, hushindwa kumsiha hata mmoja.

Chagua mambo machache na uyafanye kwa ufanisi mkubwa na utapata mafanikio makubwa sana.

TUKO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment