Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, January 30, 2015

Kauli KUMI Za Kukuhamasisha Kutoka Kwa Robert Mugabe.

Robert Mugabe (kuzaliwa 21 February 1924) ni mwanamapinduzi na raisi wa Zimbabwe. Robert Mugabe aliweza kupambana na kuondoa walowezi ambao walikuwa wanashikilia sehemu kubwa ya ardhi ya zimbabwe. Ni kiongozi shujaa sana ambaye ameweza kushindana na vikwazo vya mataifa makubwa.

Leo tutapata kauli kumi kutoka kwake ambazo zitatuhamasisha na kutufanya tuchukue hatua kwenye maisha yetu.

1. There are things one must do for oneself.

Kuna vitu ambavyo mtu anahitaji kufanya kwa ajili yake mwenyewe.

2. We of Africa protest that, in this day and age, we should continue to be treated as lesser human beings than other races.

Sisi waafrika tunakataa kwamba, mpaka sasa tunaendelea kuchukuliwa kama watu wa hali ya chini ukilinganisha na watu wengine.

SOMA; Dalili Kumi Kwamba Tayari Wewe Ni Kiongozi.

3. We don't mind having sanctions banning us from Europe. We are not Europeans.
Hatujali kama ulaya wanatuwekea vikwazo, sisi sio wazungu.

4. Countries such as the U.S. and Britain have taken it upon themselves to decide for us in the developing world, even to interfere in our domestic affairs and to bring about what they call regime change.
Nchi kama marekani na uingereza wamechukua nafasi ya kutuamulia sisi nchi zinazoendelea, wanadiriki hata kuingilia mambo yetu ya ndani kwa kile wanachodai ni mabadiliko.

5. It may be necessary to use methods other than constitutional ones.
Kuna wakati inakuwa muhimu kutumia njia nyingine tofauti na za kikatiba.

6. Our party must continue to strike fear in the heart of the white man, our real enemy!
Chama chetu lazima kiendelee kuingiza hofu kwenye mioyo ya wazungu, ambao ndio maadui zetu.

SOMA; Naomba Ufanye Changamoto Hii Ya Siku Kumi, Utabadili Sana Maisha Yako.

7. The white man is not indigenous to Africa. Africa is for Africans. Zimbabwe is for Zimbabweans.
Watu weupe sio wazawa wa Africa, Africa ni ya waafrika, Zimbabwe ni ya wazimbabwe.

8. The only white man you can trust is a dead white man.

Mtu mweupe pekee unayeweza kumwamini ni yule aliyekufa.

9. We are no longer going to ask for the land, but we are going to take it without negotiating.

Hatutaendelea tena kuomba ardhi, tunakwenda kuichukua bila ya kukubaliana.

10. If the choice were made, one for us to lose our sovereignty and become a member of the Commonwealth or remain with our sovereignty and lose the membership of the Commonwealth, I would say let the Commonwealth go.

Ni maamuzi tumefanya, kama ni kupoteza utaifa wetu ili kuwa wanachama wa jumuia ya madola au kubaki na utaifa wetu na kupoteza uanachama wa jumuia ya madola, tuko tayari kuacha uanachama wa jumuia ya madola.

Tumia kauli hizi kufikiri zaidi na kuhamsika kuchukua hatua ya kuboresha maisha yako na ya wale wanaokuzunguka.

SOMA;  Wajasiriamali Wenye Mafanikio Hufanya Mambo Haya Matano Kila Siku.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment