Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, January 29, 2015

NENO LA LEO; Chakula Cha Akili…

“Motivation is like food for the brain. You cannot get enough in one sitting. It needs continual and regular top ups.” Peter Davies

Hamasa ni kama chakula cha akili. Huwezi kupata ya kutosha mara moja. Unahitaji kuendelea kuongeza kila siku.

Hakuna siku utasema kwamba sasa nimehamasika kiasi cha kutosha na hivyo sihitaji tena hamasa. Hapo utakuwa unapotea.

Hamasa ni kitu ambacho unatakiwa kukipata kila siku. Na kwa bahati nzuri wewe unayo nafasi ya kupata hamasa kila siku kwa makala fupi unazosoma hapa kwenye blog hii MAKIRITA AMANI.

Pia unawez akuhamasika na makala nzuri kwenye blog zifuatazo;

AMKA MTANZANIA kuhusu maisha, biashara, ujasiriamali,, mafanikio.

JIONGEZE UFAHAMU kuhusu mambo mbalimbali yatakayokuwezesha kuwa bora zaidi kila siku.

VORACIOUS READERS ambapo unapata nafasi ya kusoma vitabu viwili kila wiki.

KISIMA CHA MAARIFA hapa kama unataka mafanikio kwenye jambo lolote unalofanya ndio nyumbani kwako.

Hakikisha unaweka email yako hapo juu na kusubscribe ili uendelee kupata makala za kukufundisha na kukuhamasisha kila siku.

Nakutakia siku njema.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment