Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, January 25, 2015

Kama Unataka Kupata Unachotaka Fanya Hivi…

Kama kuna kitu ambacho unakitaka kweli, na upo tayari kufanya chochote ili kukipata, ulimwengu mzima utakusaidia kupata kitu hiko.

Hivyo kupata chochote unachotaka, hakikisha unakitaka kweli na unaamini kwamba unaweza kukipata.

SOMA; Fanya Mambo Haya Matatu Na Usipokuwa Tajiri Ndani ya miaka 10, sahau kuhusu utajiri kwenye maisha yako.

Kama utaamini bila kuyumbishwa na kufanyia kazi kile unachotaka hakuna kitakachokuzuia kukipata.

Anza sasa kufanyia kazi matakwa yako na usikubali mtu yeyote akuyumbishe kutoka kwenye lengo hilo.

SOMA; UMUHIMU WA KUSOMA ZAIDI NA KUSOMA KILA MARA;

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment