Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, June 19, 2015

Kama unafuatilia blog hii kwa email, ukipata email hii nijibu.

Habari za leo mpenzi msomaji na rafiki yangu?
Kwa siku za hivi karibuni nimepokea taarifa kutoka kwa baadhi ya wasomaji kwamba hawapati email za makala zinazowekwa kwenye blog hii Makirita Amani.
Mwanzoni nilifikiri ni tatizo la watu wachache ila kadiri siku zinakwenda nimekuwa napokea taarifa kutoka kwa wengi zaidi.
Nimejaribu kufuatilia mfumo unaotumika kutuma makala hizi moja kwa moja kwenye email ambao unamilikiwa na GOOGLE. Kuna baadhi ya changamoto nimeziona na hivyo nimezifanyia kazi.
Hivyo naomba kama utapata makala hii kwenye email yako ujibu ile makala ili nijue kama mambo yako vizuri.
Na baada ya hapo nitatuma link ya makala zote ambazo hazikutumwa ambazo ni kuanzia ukurasa wa 164.
Niombe radhi kwa usumbufu huu uliojitokeza na watu kukosa nafasi ya kufuatilia vizuri makala hasa za KURASA 365.
Makirita Amani.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment