Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, December 6, 2014

Tunarudia Makosa Yale Yale…

Hakuna makosa mapya, tunarudia makosa yale yale.

Ila kwa kuwa teknolojia imekua basi na kiwango chetu cha kufanya makosa yale yale tuliyokuwa tunayafanya zamani kimebadilika.

Watu wamekuwa wakiambiwa wasiue zaidi ya miaka 4000 iliyopita sasa, lakini mpaka leo bado wanaua.

Usiibe, usizini, bado kila siku tunarudia makosa haya haya.

Hii ni kwa sababu sisi ni binadamu, na tunakosea kila mara. Lakini hii haituzuii kuwa bora zaidi ya tulivyo sasa. Tunaweza, tufanye.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment