Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, December 19, 2014

NENO LA LEO; Hiki Ndio Unachokiishi

Too many of us are not living our dreams because we are living our fears. –Les Brown

Wengi wetu hatuishi ndoto zetu kwa sababu tunaishi hofu zetu.

Acha sasa kuzuiwa na hofu na anza kuishi maisha ya ndoto zako. Hakuna kinachoshindikana kama kweli utakuwa umedhamiria.

Nakutakia siku njema.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment