Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Wednesday, December 31, 2014

NENO LA LEO; Wazazi Wanavyojenga Au Kubomoa Maisha Ya Watoto Wao

It is not what you do for your children, but what you have taught them to do for themselves, that will make them successful human beings. –Ann Landers
Sio kile unachowafanyia wanao ndio muhimu, bali kile ulichowafundisha kufanya kwa ajili ya maisha yao ndio kitawafanya wafanikiwe.
Umekuwa ni utamaduni wa wazazi kutaka kuwafanyia watoto wao kila kitu ili wawe na maisha bora. Ila pale wazazi wanapoondoka watoto hawa wamekuwa wanapata shida sana.
Ni muhimu kuwafundisha watoto jinsi ya kutengeneza maisha yao wenyewe badala ya wewe mzazi kujaribu kuwajengea maisha, hutawasiadia kwa kuwajengea maisha yao.
Nakutakia siku njema.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment