Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, December 2, 2014

Huhitaji Tena Kuomba Ruhusa…

Kuna kipindi ambapo ilikuwa kama unataka kuwa msanii ni lazima uende kwa mzalishaji wa mziki na yeye ndio angeamua kwamba unafaa kuwa msanii au la…

Kuna kipindi ambapo ilikuwa ili uwe mwandishi ungeandika rasimu yako na kuipeleka kwa mhariri na yeye ndio angeamua ichapwe au la…

Nyakati hizo zimepita sasa, huhitaji tena mtu wa kukupa ruhusa kwamba wewe unaweza kuwa msanii au unaweza kuwa mwandishi au hata kitu kingine unachotaka kuwa.

Dunia imebadilika sana kiasi kwamba unaweza kujifunza chochote na kuanza kukifanyia kazi bila ya mtu kukuzuia au kukuruhusu.

Tutumie vizuri mabadiliko haya.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment