Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, December 5, 2014

Mwalimu Anakusubiri, Chukua Hatua Sasa…

Mwanafunzi anapokuwa tayari mwalimu hutokea…

Huu ni usemi wa kale kidogo ila unaobeba maana kubwa sana.

Mwanafunzi anapokuwa tayari mwalimu hutokea, sio kwa sababu mwalimu alikuwa anasubiri mwanafunzi awe tayari ndio ajitokeze bali mwalimu alikuwepo muda wote ila mwananfunzi anapokuwa tayari ndio anamuona mwalimu kuwa yupo.

Mambo mengi kwenye maisha ambayo hujayawekea mkazo huwezi kuona umuhimu wake, pale unapoyawekea mkazo ndio unaona umuhimu wake na ndio unaona fursa zaidi.

Hivyo kuwa tayari ili uweze kumuona mwalimu wako na unufaike zaidi.

Walimu wapo wengi na kwa uhakika tu walimu wafuatao wanakusibiria wewe uwe tayari ili waanza kukupa yale kuhimu;

AMKA CONSULTANTS

AMKA MTANZANIA

KISIMA CHA MAARIFA

UWEKEZAJI TANZANIA

Hiyo ni baadhi ya mitandao ambayo utajifunz amambo mengi sana kuhusu mafanikio na maisha kwa ujumla.

Chukua hatua sasa, mwalimu anakusubiri.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment