Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, December 4, 2014

Hii Ndio Ardhi Yenye Utajiri Mkubwa Sana Duniani.

Kuna ardhi yenye utajiri na thamani kubwa sana duniani...
Ardhi hiyo sio yenye visima vya mafuta..
Na wala sio ardhi yenye migodi ya madini...
Bali ardhi hiyo ni makaburi,


Makaburi yamejaa ndoto nyingi sana ambazo hazikutimizwa.
Kuna mawazo makubwa ya kibiashara ambayo hayakutimizwa...
Kuna mawazo na ndoto kubwa za mabadiliko ambazo hazikupata nafasi ya kutekelezwa.
Badala yake watu hawa walikufa na ndoto zao.
Angalia na wewe usijekufa na ndoto yako kabla hujaitekeleza,
Maana utainyima dunia kitu kizuri sana.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment