Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, December 28, 2014

Hiki Ndicho Kinachonisukuma…

Imani yangu.
Hiki ndicho ninachokiamini mimi na kinachonisukuma kila siku kufanya kile ambacho ninafanya;
Naamini kila mtu ana uwezo mkubwa ndani yake wa kuweza kuwa bora zaidi ya alivyo sasa.
Naamini kuna fursa nyingi sana zinazomzunguka kila mtu pale alipo ambazo zinaweza kumsaidia kuboresha maisha yake zaidi.
Nafanya kazi na watu kuwawezesha kutumia uwezo mkubwa ulio ndani yao na fursa zinazowazunguka ili kuweza kuboresha maisha yao na kufikia mafanikio makubwa.
Hiki ndio ninachokiamini, hii ndio itakuwa sala yangu kila siku kwa mwaka 2015.
Nataka wale ambao wanahitaji mabadiliko kweli kwenye maisha yao wakaribie kwenye KISIMA CHA MAARIFA ili tufanye kazi pamoja.
Tembelea www.kisimachamaarifa.co.tz na ujiunge kisha nitumie meail kwenye makirita@kisimachamaarifa.co.tz ili tuanze mpango kazi.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment